Idara ya watoto
Huduma ya kuwalea watoto katika misingi ya Neno, maadili, na kumjua Mungu tangu wakiwa wadogo.
Huduma
Kila mshirika ana nafasi ya kuhudumiwa na kutumika kupitia idara mbalimbali kulingana na umri, jinsia, karama, na wajibu wake.
Idara ya wamama
Idara zetu zinaunganisha washirika katika ibada, mafundisho, matukio, uinjilishaji, maombi, na huduma za kijamii kwa utukufu wa Mungu.
Huduma ya kuwalea watoto katika misingi ya Neno, maadili, na kumjua Mungu tangu wakiwa wadogo.
Huduma ya kuwajenga wamama kiroho, kifamilia, kijamii, na kiutumishi.
Huduma ya kuwajenga wababa katika uongozi, familia, uwajibikaji, na huduma ndani ya kanisa.
Huduma ya vijana inayolenga ukuaji wa kiroho, maadili, vipaji, na maandalizi ya maisha.
Huduma ya kufikisha Injili, kufuatilia wageni, na kushirikisha jamii habari njema ya Yesu Kristo.
Huduma inayosimamia maombi, maombezi, na kusimama kwa ajili ya mahitaji ya kanisa na jamii.